• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA MANISPAA YA SHINYANGA YAADHIMIA KUBORESHA BWAWA LA IBADAKULI KUWA CHANZO CHA MAPATO NA UTALII.

Posted on: April 22nd, 2025

Kamati ya Fedha na Utawala Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imeazimia kuboresha bwawa la Ibadakuli kwa madhumuni ya kutumika kama kama chanzo kipya cha mapato kwa Halmashauri, kituo cha utalii wa ndani, pamoja na kuimarisha matumizi yake kama chanzo endelevu cha maji kwa wananchi.


Uamuzi huu umetolewa na wajumbe wa kamati hiyo wakati wa ziara ya kamati iliyofanyika kwa lengo la kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo tofauti ndani ya Manispaa.


Akizungumza katika ziara hii, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga, Mhe. Elias Masumbuko, ameeleza kuwa Halmashauri imelenga kuweka mazingira rafiki ya matumizi ya bwawa hilo kwa ajili ya shughuli za kiuchumi ikiwemo ufugaji wa samaki, utalii wa ndani, pamoja na kutoa huduma za burudani kwa jamii.


“Ni muhimu sana wataalamu wetu kuharakisha mipango ya uboreshaji wa bwawa hili. Bwawa la Ibadakuli lina maji ya kutosha msimu wote wa kiangazi na masika. Tukiliendeleza vizuri, linaweza kuwa chanzo kikuu cha mapato na sehemu ya kuwavutia watalii katika Manispaa yetu kulingana na ubunifu wetu,” amesema Mhe. Masumbuko.


Katika hatua nyingine, kamati hiyo imetembelea na kukagua utekelezaji wa miradi ya sekta ya elimu, ukiwemo, Ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika Kata ya Kizumbi, unaogharimu kiasi cha shilingi milioni 103,890,563 fedha kutoka Serikali Kuu; Ujenzi wa mabweni manne katika pamoja na matundu 12 ya vyoo Shule ya Sekondari Rajani, kwa ajili ya kuongeza nafasi kwa wanafunzi wa bweni; ambapo kukamilika kwa mabweni hayo yatahudumia jumla ya wanafunzi 480.


Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Ndg. Peres Kamugisha,ameahidi kuongeza usimamizi wa karibu kwa wakandarasi wote ili kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa viwango vya ubora vinavyotakiwa na kwa muda uliopangwa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga