• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA SHINYANGA YAANZA MAADHIMISHO YA UHURU KWA KUPANDA MITI NA USAFI WA MAZINGIRA

Posted on: December 8th, 2022

Na George Mganga, Shinyanga MC

KUELEKEA Maadhimisho miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga leo Disemba 8, 2022 imeanza maadhimisho hayo kwa kupanda miti, kufanya usafi wa mazingira na kushiriki michezo mbalimbali.

Manispaa imepanda miti hiyo katika Kituo cha Makazi ya Wazee na Wasiojiweza Kolandoto ambapo Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga, Boniphace Nchambi, ndiye alikuwa mgeni rasmi.

Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga, Boniphace Nchambi, akipanda mti kwenye eneo la kambi ya wazee Kolandoto.

Katika tukio hilo, Kativu Tawala Nchambi, amesema wameamua kupanda miti kwenye kambi ya wazee hao sababu walihusika katika kupigania Uhuru wa nchi, halikadhalika wanaijua vizuri historia ya taifa.

“Tumechagua kambi ya wazee Kolandoto sababu walihusika katika harakati za kupigania Uhuru wa Taifa na wanaijua vizuri historia yetu. Kijana aliyezaliwa leo hawezi ijua vizuri historia zaidi ya kusoma kwenye vitabu.

“Mpaka sasa nchi yetu imefanya maendeleo makubwa ya kuwatoa wazee kwenye magofu na kuwaweka kwenye nyumba bora, na katika mafanikio yote haya tangu uhuru, sisi kizazi chetu tumefyweka miti, tumeamua kuwapandia miti wazee wetu, nafikiri itakua na mvua itarejea. “Kesho ndiyo kilele cha miaka 61 ya Uhuru, kutakuwa na Kongamano kubwa la kujadili mafanikio ambayo nchi yetu imeyapata ndani ya miaka 61, wananchi wote mnakaribishwa”, amesema Nchambi.

Mbali na zoezi la kupanda miti, Ndg. Nchambi Pamoja na Kamati ya Usalama pia baadhi ya Maafisa kutoka Ofisi za Manispaa ya Shinyanga walihudhuria michezo mbalimbali katika Uwanja wa SHYCOM, Shinyanga, ikiwemo kukimbia na magunia, kukusanya chupa, mpira wa pete na miguu uliozikutanisha Shule za Sekondari Ngokolo na Uhuru, huku pia akiwepo Naibu Katibu Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Utaribu). Bw. Kaspar Kaspar Mmuya.Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru Tanzania Bara yatafanyika rasmi kesho katika Ukumbi wa Chuo cha Ualimu Shinyanga (SHYCOM) kuanzia saa 2:00 asubuhi.

Naibu Katibu Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Utaribu). Bw. Kaspar Kaspar Mmuya, akizungumza na wanafunzi katika Uwanja wa SHYCOM.


Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga, Boniphace Nchambi, akitambulishwa kwa wachezaji wa Shule ya Sekondari Ngokolo kabla ya mchezo.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga