• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YAANZA MAFUNZO ELEKEZI YA KIELETRONIKI YA MFUMO WA MUKI KWA WATUMISHI

Posted on: September 15th, 2023

MANISPAA YA SHINYANGA YAANZA MAFUNZO ElEKEZI YA KIELETRONIKI YA MFUMO WA MUKI KWA WATUMISHI

Na. Shinyanga Mc

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga leo tarehe 15 Septemba, 2023 imeanza mafunzo elekezi ya kieletroniki ya mfumo wa MUKI kwa muda wa siku mbili kuanzia leo tarehe 15 mpaka 16 Septemba, 2023 kwa watumishi wa Manispaa katika ukumbi wa shule ya msingi Buhangija iliyopo katika kata ya Ibinzamata.

Akizungumza katika Ufunguzi wa Mafunzo hayo Bi Getruda Gisema ambaye ni Mkuu wa Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu amewaeleza washiriki wa mafunzo hayo kuwa Serikali imeleta mfumo huu ili kurahisisha kazi na kupunguza gharama za matumizi mbalimbali kwani mfumo huu niwa kidigitali hivyo matumizi makubwa ya shajala na mambo mengine havitatumika bali vitatumika zaidi kwa kutumia Vishikwambi na mpakato(laptop)ili kujengea uelewa wa urahisi kwa watumishi katika kujifunza mambo mambalimbali ya kiutumishi.

Bi Gisema ameeleza kwamba awali Serikali ilikuwa ikitoa mafunzo haya kwa watumishi mara tu wanapoajiriwa lakini yalikuwa yanatolewa kwa njia ya kawaida yani kusomewa na kuelezewa kwa mdomo mambo mbalimbali ya kiutumishi lakini kwa kutumia mfumo huu wa MUKI watumishi wanajiunga kieletroniki kwa kujaza taarifa binafsi ambapo baada ya kuingia katika mfumo huo wataweza kusoma na kujifunza mambo mbalimbali ya kiutumishi.

Sanjali na hilo Bi Gisema amewaeleza washiriki wa mafunzo hayo kuhakikisha kuwa wanajisajili katika mfumo huo ili kujisomea na kufanya mitihani itakayo wawezesha kupata cheti cha kuhitimu mafunzo ya kiutumishi kwa njia ya kieletroniki.

Kupitia mfumo huu wa MUKI utaenda kusaidia watumishi kuweza kujua kanuni na maadili ya kiutumishi, majukumu yao ya kitaaluma na kujua stahiki zao mbalimbali pamoja na kujifunza mambo ya kiutumishi muda wowote na mahali popote kwa njia ya kieletroniki.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga