• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YAGAWA VISHIKWAMBI KWA WALIMU

Posted on: January 25th, 2023

Na George Mganga, SHY MC

HALMASHAURI ya Manispaa ya Shinyanga imegawa sehemu ya Vishikwambi (TABLETS) 549 kwa walimu wa Shule za Msingi na Sekondari zilizopo ndani ya Manispaa ya Shinyanga.

Zoezi hilo limefanyika Januari 24, 2023 katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga ambapo jumla ya Vishikwambi 257 viligawiwa kwa Walimu wa Shule za Msingi na 292 wakipewa kwa Walimu wa Sekondari.

Ugawaji wa Vishikwambi hivyo umefanyika kutokana na maagizo ya Serikali ili kuwawezesha Walimu kuendana na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ambayo itasaidia katika michakato ya ufundishaji na kuwasilisha Elimu kwa Wanafunzi.

Huu ni muendelezo wa utoaji wa Vishikwambi hivyo ambapo awali viligawiwa katika awamu ya kwanza Vishikwambi 470 ambavyo pia tayari vimeshaanza kutumika mashuleni kama ilivyo maelekezo ya Serikali.

Awali akikabidhi vishikwambi hivyo Mwl. Tuzo Mpwaga ambaye ni Afisa Elimu Vifaa na Takwimu wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, alisema kuwa kutolewa kwa Vishikwamhi hivyo kwa walimu ni utekelezaji wa maelekezo ya Serikali kuwa wapatiwe waalimu viende kuwasaidia katika utekelezajj wa majukumu yao ya kila siku katika kazi zao.

"Vishikwamhi hivi viende kutumika kwa maslahi mapana ya kazi na majukumu yenu na wala siyo vinginevyo, na kwakuwa Serilikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayo nia njema kwenu, nanyi tunaimani mnakwenda kutekeleza maelekezo ya Serikali yake ambayo imetoa kwa nia njema kabisa kwenu", alisema Mwl Mpwaga.

Utoaji wa Vishikwambi kwa walimu wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ambao unaendelea mpaka sasa, ni utekelezaji wa maelekezo ya Serikali ambapo Waziri Mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa alisisitiza ugawaji Vishikwambi kwa walimu ufanyike kwa haraka ili waendelee na uboreshaji wa utoaji huduma kwa walimu.


Tangazo

  • UANDIKISHWAJI WA WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA January 06, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA SENSA May 05, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MPYA June 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA MADIWANI KATA YA MWAMALILI December 07, 2022
  • Tazama

Habari Mpya

  • MIAKA MIWILI YA MH DKT. SAMIA SHINYANGA YAKUSANYA BIL 255 ZA MADINI

    March 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

    March 25, 2023
  • KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BARABARA INAYOJENGWA NA WALENGWA WA TASAF MANISPAA SHINYANGA

    March 16, 2023
  • RC MNDEME AZURU SHULE YA WASICHANA SHINYANGA, AAGIZA SPIDI YA UJENZI KUONGEZEKA

    March 16, 2023
  • Tazama

Video

MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU SHINYANGA MC
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0767042958

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga