• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

RC MJEMA AZINDUA ZOEZI LA MSIMU WA UPANDAJI MITI BUTENGWA

Posted on: November 26th, 2022

Na George Mganga, Shinyanga Manispaa

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Mh. Sophia Mjema, amewataka wananchi walio ndani ya mkoa wake kupanda miti kwa wingi katika maeneo yanayowazunguka, ili kukuza ustawi mzuri wa mazingira na kuondoa athari za ukame.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mh. Sophia Mjema, akipanda mti katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Butengwa.

Mjema ameyasema hayo leo Novemba 26, 2022 wakati wa uzinduzi wa msimu wa upandaji miti, uliofanyika katika Shule ya Sekondari Butengwa iliyo Kata ya Ndembezi, ambapo aliongoza Taasisi mbalimbali zilizojitokeza, kupanda jumla ya miti 500 na mingine 500 wakipewa wananchi.

Mh. Sophia Mjema (wa pili kushoto) akiwa na Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Prof. Siza D. Tumbo (wa kwanza kushoto), pia MKuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mh, Jasinta Mboneko pamoja na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, John Tesha, ambao wote walishiriki zoezi la upandaji miti.

Katika uzinduzi huo, Mjema ametoa kauli hiyo akisisitiza kuwa ili mazingira yawe mazuri na kuchochea maendeleo ya ustawi mzuri wa mazao na hata maji, ni lazima kuwe na miti mizuri ambayo itasaidia kutunza mazingira.

“Tumezindua shughuli ambayo itaenda kufanyika kwenye Halmashauri zote, tuhamasike tupande miti kwa wingi, hii itatusaidia kutengeneza mazingira bora ya kuishi.

“Miti inasaidia udongo kuwa na rutuba nzuri pamoja na uzalishaji mzuri wa maji. Tusipofanya haya tutakosa maji, ukame utakuja na tutakosa chakula. Lazima tuzingatie haya na nguvu kazi ya kupanda miti hususani ya matunda lazima iwekezwe,” amesema Mjema.

Wadau kutoka taasisi mbalimbali waliojitokeza Shule ya Sekondari Butengwa kushiriki zoezi la upandaji miti wakiwa katika picha ya pamoja na Mh. Sophia Mjema.

Katika hatua nyingine, Mh. Mjema ametoa maagizo kwa Wakuu wa Wilaya na Halmashauri zote katika Mkoa wa Shinyanga kuhakikisha elimu ya upandaji miti inatolewa, sambamba na kutenga maeneo maalum kwa ajili ya vitalu vya miti na misitu.

Aidha, Mjema amesema lengo la idadi ya mkoa kupanda miti ni milioni 9, lakini mpaka sasa iliyofikiwa ni milioni 8.


Tangazo

  • UANDIKISHWAJI WA WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA January 06, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA SENSA May 05, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MPYA June 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA MADIWANI KATA YA MWAMALILI December 07, 2022
  • Tazama

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA MATUMIZI YA VISHIKWAMBI KWA WALIMU YATOLEWA MANISPAA SHINYANGA

    January 31, 2023
  • MANISPAA SHINYANGA YAITISHA KIKAO NA WADAU WA SHEREHE NA BURUDANI KUJADILI MUSTAKBALI WA ADA NA USHURU

    January 27, 2023
  • MANISPAA YA SHINYANGA YAGAWA VISHIKWAMBI KWA WALIMU

    January 25, 2023
  • MANISPAA YA SHINYANGA YAPOKEA BIL 2,051,694,000 ZA MIRADI YA MAENDELEO

    January 25, 2023
  • Tazama

Video

MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU SHINYANGA MC
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0767042958

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga