• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

Uhakiki wa Watumishi wa Umma kwa kutumia taarifa za NIDA

Posted on: June 13th, 2017

Mafunzo kwa Maofisa Utumishi wa Sektretarieti ya Mkoa wa Shinyanga na Mamlaka zake sita za Serikali za Mitaa  kuhusu uhakiki wa watumishi kwa kutumia taarifa za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) yamefanyika tarehe 13 Juni 2017 katika Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga. Jumla ya Maofisa Utumishi 13 kutoka katika Mkoa na Halmashauri sita za Mkoa wa Shinyanga wamepata mafunzo ya kuhakiki watumishi kwa kutumia fomu na ripoti za NIDA zilizojengwa kwenye mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS). Halmashauri zilizoteua Maofisa utumishi kuhudhuria mafunzo ya uhakiki kwa muda siku moja ni Halmashauri ya Wilaya Shinyanga, Manispaa ya Shinyanga, Kishapu, Msalala, Ushetu na Kahama Mji.

Ndugu Lenard Tumua-Ofisa kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma akitoa mafunzo kwa Maofisa Utumishi

Baada ya Mafunzo hayo ambayo yamehusisha Ofisa kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ndugu Lenard Tumua, zoezi la uhakiki wa watumishi limeanza mara moja kuanzia tarehe 14 Juni 2017 kwenye Halmashauri zote za mkoa wa Shinyanga ikiwemo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga na linasimamiwa na kutekelezwa na Maofisa Utumishi waliopata mafunzo. Aidha kila mtumishi anatakiwa kuwa na kitambulisho cha kazi chenye picha ya mtumishi, hati ya malipo ya mshahara na kitambulisho cha taifa ili aweze kuhakikiwa. 

"Watumishi wote wa serikali ambao vituo vyao vya kazi vipo nje ya makao makuu ya taasisi zao kama vile polisi na magereza, watahakikiwa katika wilaya wanazofanyia kazi chini ya usimamizi wa Wakurugenzi wa Halmashauri ambako zoezi la uhakiki unafanyika". Alisema Ndugu Lenard Tumua wakati wa mafunzo kwa maofisa Utumishi.

Taasisi zinazohusika na zoezi la uhakiki wa watumishi ni zile ambazo watumishi wake wanalipwa mishahara kupitia mfumo wa taarifa za Kiutumishi na Mishahara.

Maofisa Utumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kutoka katika Halmashauri za Mkoa wa Shinyanga baada ya mafunzo



Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga