• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

Watumishi wa Umma Hatuwezi kwenda mbele bila kubadilika kiakili

Posted on: June 23rd, 2017

Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga ndugu Albert G. Msovela ametoa wito wa kufanya kazi kwa bidii kwa watumishi wa Halmashauri ya Manispaa Shinyanga ili kumuwakilisha vizuri Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mheshimiwa John Pombe Magufuli katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Alitoa wito huo katika ukumbi wa mikutano wa Lewis Kalinjuna uliopo ofisi za Manispaa katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2017 ambayo ilianza tarehe 16 Juni 2017.

Aidha Katibu Tawala amewaambia watumishi wa Umma waendelee kufanya kazi kwa uwazi na kwa weredi ili wanapoelekea mwisho wa mwaka 2016/2017 waweze kufanya tathimini ya mipango iliyopangwa mwanzoni mwa mwaka. Ameeleza kuwa urasimu, matumizi mabaya ya madaraka, majungu kazini, mijadala na maneno yasiyo na tija yasiwepo katika utendaji kazi.

“Tusipoyatekeleza haya, hata majukumu yako haya hutaweza kuyatekeleza. Lazima mtumishi wa Umma utambue sheria, kanuni  na miongozo ya utumishi wa umma inasemaje, tuko kwenye mamlaka ya Serikali za Mitaa, nini wajibu wetu?. Kuna matatizo mengi yametupata kutokana na kutokuzingatia kanuni, sheria na miongozo ya utumishi wa umma. Kwa hiyo niwaombe ndungu zangu watumishi tuzingatie sheria, kanuni na miongozo iliyopo katika utumishi wa umma”. Alisema Katibu Tawala Mkoa.

Mkurugenzi wa Manispaa-Geoffrey Mwangulumbi akizungumza na watumishi wa Manispaa.  

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ndugu Geoffrey Ramadhan Mwangulumbi mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa watumishi wa Manispaa amezungumza na watumishi wa Manispaa kwa kusikiliza na kujibu maswali mbalimbali ya watumishi wa umma akishirikiana na wakuu wa Idara mbalimbali. Pia ametumia mkutano huo kuwaelimisha watumishi wa umma sera, sheria, kanuni na miongozo ya utumishi wa umma. Mkutano wa watumishi ulijumuisha makundi mbalimbali ya watumishi waliopo katika Halmashauri ya Manispaa wakiwemo Wakuu wa Idara na Vitengo, Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa Shule, Watumishi wote waliopo makao Makuu ya Halmashauri na Idara ya Afya, na Wakuu wa Vituo vya Afya.

Kauli mbiu ya maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma imekuwa na ujumbe wa “Ushirikishwaji wa Jamii-Vijana washirikishwe katika masuala ya kijamii barani Afrika” ambapo Manispaa ya Shinyanga iliongeza muda wa saa moja zaidi kila siku ili kutoa fursa zaidi ya kutoa huduma bora kwa wananchi. Sambamba na uongezaji wa muda wa kuhudumia wananchi, pia ofisi ya Manispaa ilijenga banda huru la kutoa elimu ya utumishi wa Umma katika viwanja vya Zimamoto, na kusikiliza maoni ya wananchi katika sehemu zinapotolewa huduma za maji katika kijiji cha Mwamagunguli na Mwamalili, kero za ardhi zilisikilizwa katika kijiji cha Nhelegani.

Watumishi wa Manispaa wakimsikiliza Katibu Tawala Mkoa katika kilele cha Maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga