• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

Video

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU SHINYANGA MC

    November 26th, 2021

    Maadhimisho ya Miaka 60 katika Halmashauri ya Shinyanga MC iliadhimishwa kwa Aina yake Kwa Ufunguzi wa Machinjio ya Kisasa pamoja Na Kampeni ya Upandaji Miti ya Matunda na Kivuli

  • Mtoto ana haki ya kupewa cheti cha kuzaliwa

    April 5th, 2017

    Umuhimu wa Cheti cha Kuzaliwa

    Ni utambulisho wa awali kisheria utakaomuwezesha mtoto kupata haki nyingine.

    Humsaidia mtoto kuandikishwa shule za msingi na sekondari.

    Kuzuia ajira ya watoto na kuwalinda watoto wanaokinzana na sharia.

    Kuwawezesha wanafunzi kujiunga na vyuo na elimu ya juu.

    Kupata mikopo ya elimu ya juu.

    Ni lazima ili kupata ajira katika taasisi za serikali na majenshi ya ulinzi na usalama.

    Ni kiambatanisho cha msingi ili kupata kitambulisho cha Taifa katika zoezi linaloendelea nchini.

    Husaidia kupata hati ya kusafiria (Passport)


    Zoezi la kuwasajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa bila malipo watoto wote walio na umri chini ya miaka 5 linaendelea katika kila ofisi za mtendaji wa kata na vituo vya afya vinavyotoa huduma ya mama na mtoto. Katika picha Bi.Evelyne Muuguzi Msaidizi katika kituo cha Afya cha Magereza, kilichopo mtaa wa Ushirika, kata ya Chamaguha, Manispaa ya Shinyanga akimkabidhi mzazi cheti cha kuzaliwa baada ya kusajili katika daftari la usajili.

    Mara baada ya kusajili na kupokea cheti cha kuzaliwa wazazi huelemishwa kuwa cheti kinachotolewa ni halali kwa matumizi yoyote. Na pia cheti hakina ukomo wa matumizi ya mtoto hatalazimika kupata cheti kingine baada ya umri wa miaka 5. Kwa hiyo ni vema cheti kitunzwe mahali salama na kisikunjwe.

    Mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa usajili na utoaji wav yeti vya kuzaliwa ni kama ifuatavyo:

    Mzazi au mlezi anatakiwa kufika na kadi ya kliniki au tangazo la kuzaliwa mtoto au cheti cha ubatizo wa mtoto.

    Mzazi au mlezi afike na taarifa sahihi za jina la mtoto na majina matatu sahihi ya wazazi wa mtoto yaani baba na mama wa mtoto.

  • Utekelezaji wa Serikali mtandao 1

    March 23rd, 2017

    Tafadhali angalia utekeleaji wa serikali mtandao katika utoaji wa huduma kwa wananchi

  • 1
  • 2
  • Next →

Tangazo

  • UANDIKISHWAJI WA WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA January 06, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA SENSA May 05, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MPYA June 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA MADIWANI KATA YA MWAMALILI December 07, 2022
  • Tazama

Habari Mpya

  • MIAKA MIWILI YA MH DKT. SAMIA SHINYANGA YAKUSANYA BIL 255 ZA MADINI

    March 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

    March 25, 2023
  • KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BARABARA INAYOJENGWA NA WALENGWA WA TASAF MANISPAA SHINYANGA

    March 16, 2023
  • RC MNDEME AZURU SHULE YA WASICHANA SHINYANGA, AAGIZA SPIDI YA UJENZI KUONGEZEKA

    March 16, 2023
  • Tazama

Video

MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU SHINYANGA MC
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0767042958

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga